09/06/2026
🔥🔥HABARI NJEMA🔥🔥
Sasa unaweza kujipatia BATI ZA KUPITISHA MWANGAZA kutoka kwetu kwa bei rafiki,
Bati zetu za mwanga ni za Fibre 28Gauge, zinadumu kwa muda mrefu bila kubadilika rangi wala kuweka nyufa (Cracks), pia bati zetu hazipitishi joto wala mionzi ya jua bali zinapitisha Mwangaza pekee, zitumie leo na ujionee utofauti💪🏻
✅LIPIA UKIPOKEA / PAY AFTER RECIEVE.✅
📌NOTE: Wakazi wote wa Dar Es Salaam unaweza kuagiza na ukaletewa na kisha ukafanya malipo.
📌BEI ZAKE;
Mgongo mpana IT-4 plain bei 95,000 @ 1pc
Mgongo mpana IT-5 plain bei 105,000 @ 1pc
Mgongo mdogo plain bei 65,000 @ 1pc
Mgongo mpana IT-5 Blue 115,000 @ 1pc
Screw rasmi za kufungia - 700 @ 1pc
📌UKUBWA WAKE (ITS SIZE)
Upana (Width) - 90cm.
Urefu (Length) - 3 Meters.
📌MATUMIZI YAKE;
1)Kupitisha mwanga katika kumbi ama Godown yako.
2)Kujengea parking za kisasa,
3)Kujengea Pegola za kisasa,
4)Kupendezesha Varanda ya nyumba,
5)Kofia nzuri za Madirisha.
6)Kujenga Fensi za kisasa.
7)Kupamba bustani yako.
8)Hutumika kujengea kumbi za kilimo cha umwagiliaji.
9) Kujengea majiko/kitchen za kisasa zenye mwanga wa kutosha.
10) Kunjengea cafe za zisasa.
Tupigie 0788012366
Follow us