Ajira za makampuni,viwanda na mashirika

Ajira za makampuni,viwanda na mashirika Tunapokea Maombi ya kazi mbalimbali na kukuuunganisha na makampuni, Mashirika au ofisi mbalimbali.

13/12/2024

TANGAZO TANGAZO
Kikundi cha Sanaa kijulikanacho k**a SIMANYA ARTS GROUP Kinatangaza nafasi za watu 10 (wakiume 6 na wa k**e 4) wenye vipaji vya kuigiza. K**a wewe ni mmoja wapo tuma ujumbe mfupi kwa Whatsapp No.0713032040 wenye neno NAWEZA, utapewa maelekezo Mengine. Watu kutoka mikoa yote mnakaribishwa.

Kumbuka namba hapo juu ni kwa ajili ya Whatsapp pekee.

03/04/2023

TANGAZO LA KAZI

Kampuni ya INCHAGE SECURITY SERVICES LTD ya bangamoyo pwani, imetangaza nafasi 1 ya Afisa masoko.

Vigezo:
1.Awe raia wa Tanzania
2.Awe tayari kujitoa kufanya kazi kwa bidii,
3.Awe mwenye taaluma ya masoko na huduma kwa wateja,
4.Awe na elimu angalau kidato cha nne na kuendelea.

Maombi yatumwe kwenye Email ya Kampuni [email protected] kabla ya tarehe 15 mwezi huu.

Kwa maelezo zaidi piga 0713032040.

Changamkia fursa.

Wenye uhitaji wa mbwa karibu inchage security.
01/04/2023

Wenye uhitaji wa mbwa karibu inchage security.

AJIRA AJIRA AJIRANafasi 12 za AJIRA zimetangazwa na kampuni ya ulinzi ya INCHAGE SECURITY SERVICES LTD K**a ifuatavyo;1....
25/12/2022

AJIRA AJIRA AJIRA
Nafasi 12 za AJIRA zimetangazwa na kampuni ya ulinzi ya INCHAGE SECURITY SERVICES LTD K**a ifuatavyo;

1.mhasibu wa kampuni nafasi 1
2. Kazi ya ulinzi nafasi 11

SIFA, MASHARTI NA VIGEZO

1.elimu ya uhasibu pamoja na uzoefu angalau wa miaka miwili kwa muombaji wa uhasibu.

2.awe amepitia mafunzo ya mgambo,Jkt au mafunzo yoyote ya ulinzi na usalama kutoka katika taasisi inayotambulika.

3.awe tayari kufanya kazi mkoa wowote Tanzania.

4.lazima awe Raia wa Tanzania

5.awe anajua kusoma na kuandika vizuri.

6. Awe na urefu wa angalau futi 5 na kuendelea.

Waombaji watalazimika kuandika barua za maombi kwa mkono na waambatanishe vivuli vya vyeti vyao pamoja na barua za utaambulisho kutoka serikali za mitaa yao.

Maombi yote yatumwe kupitia email ya Kampuni [email protected]

Mwisho wa kutuma Maombi Ni tarehe 30/12/2022 wahi mapema.

Kwa maelezo zaidi piga 0713032040.

Jiunge na group la NAFASI mpya za kazi bonyeza Link

WhatsApp Group Invite

Ajira, kampuni ya ulinzi bagamoyo
28/08/2022

Ajira, kampuni ya ulinzi bagamoyo

Karibu unaruhusiwa kishare link
11/08/2022

Karibu unaruhusiwa kishare link

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ajira za makampuni,viwanda na mashirika posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Ajira za makampuni,viwanda na mashirika:

Share