Fundi fridge na Air condition -0744634606

Fundi fridge na Air condition -0744634606 Fundi bingwa wa (fridges) na (AC). Huduma bora, haraka, na kwa bei nafuu. Tunakuja mpaka nyumbanKwako

01/03/2026

Je uko Kanda ya ziwa hasa Mwanza?

Unahitaji fundi fridge?

Unahitaji fridge ya kutumia?

Unahitaji kufungiwa AC kwa Bei nafuu sana na haraka?

Unahitaji service ya AC zako upate hewa safi usiumwe mapafu?

Unahitaji kufungiwa AC zako?

Piga simu sasa kwa huduma ya haraka na uhakika!

0744634606

Fundi mzoefu zaidi ya miaka 8 kwenye uwanja wa HVAC

❄️ HISENSE AC AVAILABLE ❄️🔥🔥🔥Baridi ya uhakika, matumizi madogo ya umeme na ubora wa dunia 🌍Chagua AC inayokufaa — NON-I...
15/02/2026

❄️ HISENSE AC AVAILABLE ❄️🔥🔥🔥
Baridi ya uhakika, matumizi madogo ya umeme na ubora wa dunia 🌍
Chagua AC inayokufaa — NON-INVERTER | INVERTER | MULTI-SPLIT

🔹 NON-INVERTER HISENSE AC
▫️ 9000 BTU
▫️ 12000 BTU
▫️ 18000 BTU
▫️ 22000 BTU

🔹 INVERTER HISENSE AC 💥 (Haili umeme)
▫️ 9000 BTU
▫️ 12000 BTU
▫️ 18000 BTU
▫️ 22000 BTU
▫️ 30000 BTU 🔥
▫️ 36000 BTU 🔥🔥

🔹 HISENSE MULTI-SPLIT AC
💥 Model: AMW2-18T4RG
✅ Inatumia Outdoor 1
✅ Inaweza kuendesha Indoor 2
✅ Inaokoa nafasi & umeme

✅ AC mpya original
✅ Baridi kali & kimya
✅ Inverter ni low power consumption

📦 FREE DELIVERY
🛠️ installation kwa Bei nafuu

📞 Call/WhatsApp: 0744634606
📍 Location: Mkolani njia Buguku , Mwanza


LowPowerAC BaridiKali
HomeAppliancesTZ ElectronicsTZ

Feedback ambayo Kila mwenye duka anatamani kuipokea Ahsante Sana  from TikTok Nina zawadi Yako boss wangu umetisha
11/02/2026

Feedback ambayo Kila mwenye duka anatamani kuipokea Ahsante Sana from TikTok Nina zawadi Yako boss wangu umetisha

❄️🔧FRIDGE LAKO HALIGANDI? AC HAITOI BARIDI? USIPANIKI!ANSBERT YUPO HAPA MKOLANI – TUNARUDISHA BARIDI HARAKA! 🧊🔥Unahitaji...
10/02/2026

❄️🔧FRIDGE LAKO HALIGANDI? AC HAITOI BARIDI? USIPANIKI!

ANSBERT YUPO HAPA MKOLANI – TUNARUDISHA BARIDI HARAKA! 🧊🔥

Unahitaji fundi wa kuaminika, mwenye uzoefu na anayepatikana kirahisi Mwanza?

Karibu kwa Ansbert – Fundi Fridge & Air Condition Expert 👨‍🔧

📍 Location: Mkolani Stand, njia ya kuelekea Buguku

🔹 HUDUMA ZETU:
✅ Majokofu (Fridges) – Matengenezo ya aina zote, kuondoa kelele, kurekebisha cooling system

✅ Air Conditioners (AC) – Installation & Professional Service

✅ Deep Freezers – Tunahakikisha bidhaa zako zinabaki salama

✅ Tunauza Fridge Used (Mtumba) kwa Bei Nafuu – Zipo katika hali nzuri na tayari kwa matumizi

🔥 KWANINI UTUCHAGUE?

📍 Tuko karibu nawe – Mkolani, Mwanza

🏠 Tunatoa Huduma ya Nyumbani (Hatubebeshi friji zito!)

💰 Gharama nafuu, kazi safi na ya uhakika

⚡ Response ya haraka

🚨 USISUBIRI KIFAA CHAKO KIHARIBIKE ZAIDI!

📲 Bonyeza WhatsApp sasa au piga moja kwa moja:

https://wa.me/255744634606
☎️ 0744 634 606

Baridi inarudi leo! ❄️

❄️🧊 UNATAFUTA FRIDGE KWA BEI NAFUU?USINUNUE MPYA KWA GHARAMA KUBWA WAKATI ZIPO MTUMBA BORA!👉 Fridge Used (Mtumba) ZIPO!✔...
10/02/2026

❄️🧊 UNATAFUTA FRIDGE KWA BEI NAFUU?

USINUNUE MPYA KWA GHARAMA KUBWA WAKATI ZIPO MTUMBA BORA!

👉 Fridge Used (Mtumba) ZIPO!
✔️ Ziko katika hali nzuri
✔️ Baridi kali na uhakika
✔️ Zinajaribiwa kabla ya kuuzwa
✔️ Bei rafiki kwa kila bajeti

📍 Zinapatikana Mkolani & buhongwa– Mwanza

🚚 Tunasaidia usafiri (kwa makubaliano)

💰 Bei ni nafuu mno kulingana na size na model.

📲 Wahi kuwasiliana nasi sasa kabla hazijaisha!
☎️ 0744 634 606 (Call/WhatsApp)

https://wa.me/255744634606

Nunua smart. Okoa pesa. Pata baridi leo! ❄️🔥

09/02/2026

Jokofu(fridge) lako haligandi? AC haitoi baridi? Usipate shida ❄️

​Karibu Ansbert Fundi Fridge na Air Condition, mabingwa wa kutengeneza na kufanya service ya vifaa vyako vya baridi kwa ufundi wa hali ya juu. 🛠️

​Tunatengeneza na kufanya service ya:

✅ Majokofu (Fridges) ya aina zote.
✅ Viyoyozi (Air Conditioners).
✅ Deep Freezers.

​Tunatoa huduma bora, ya haraka, na kwa bei nafuu—na uzuri ni kwamba tunakuja mpaka nyumbani kwako! 🏠✨

​KWa mawasiliano kupiga simu, kutuma ujumbe au kupata appointment sasa! 📲👇 0744634606

Jokofu(fridge) lako haligandi? AC haitoi baridi? Usipate shida ❄️​Karibu Ansbert Fundi Fridge na Air Condition, mabingwa...
09/02/2026

Jokofu(fridge) lako haligandi? AC haitoi baridi? Usipate shida ❄️

​Karibu Ansbert Fundi Fridge na Air Condition, mabingwa wa kutengeneza na kufanya service ya vifaa vyako vya baridi kwa ufundi wa hali ya juu. 🛠️

​Tunatengeneza na kufanya service ya:

✅ Majokofu (Fridges) ya aina zote.
✅ Viyoyozi (Air Conditioners).
✅ Deep Freezers.

​Tunatoa huduma bora, ya haraka, na kwa bei nafuu—na uzuri ni kwamba tunakuja mpaka nyumbani kwako! 🏠✨

​Bonyeza kitufe cha WhatsApp hapa chini kutuma ujumbe au kupata appointment sasa! 📲👇 0744634606

Address

Mkolani
Mwanza
33112

Opening Hours

Monday 07:00 - 21:30
Tuesday 07:00 - 21:30
Wednesday 07:00 - 21:30
Thursday 07:00 - 21:29
Friday 07:00 - 21:30
Saturday 07:00 - 21:30
Sunday 10:30 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Fundi fridge na Air condition -0744634606 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share