04/04/2026
Nilikuwa ninatamani sana kufanya kitu ambacho kitakuwa na Manufaa zaidi kwa Jamii yangu na Ulimwengu mzima kwa ujumla. Ndipo likanijia wazo la kuandika kitabu hiki kinaitwa "GEARS AND DREAMS - The Life of Mechanical Engineers ".
Ndani ya kitabu hiki nimeelezea nini maana halisi ya Uhandisi wa Mitambo, Ni kazi zipi wanaweza kufanya, ni namna gani wanashirikiana na wahandisi wengine au watu wa kada nyingine, ni biashara zipi unaweza kuzifanya katika kada hii, fursa zilizopo, changamoto mbalimbali zilizopo pia jinsi ya kuzitatua na mambo mengine mengi zaidi.
Hiki kitabu hakina mipaka, Mtu yeyote anaweza kukisoma awe mwanafunzi wa sekondari, Mzazi, Wanachuo wa kozi zote, Wahandisi, Madaktari, Kifupi ni kwamba kwa yeyote atakayekisoma kinamanufaa makubwa sana kwako.
Kwasasa tupo na Copy yake katika Mfumo wa Soft Copy, ambapo gharama yake ni 10,000/= tuu. Uli uweze kujipatia hiyo copy unaweza kuwasiliana nami au kwa WhatsApp No. +905376838491 au +255769948264.
pia unaweza kukipata direct kupitia link hii
https://sites.google.com/view/kasandaengineering/products?pli=1