05/04/2024
JINSI YA KUWA HACKER
Hacking ni kitendo cha kutafuta mapungufu(vulnerabilities) katika mfumo wa computer au mtandao(network) na kutumia mapungufu hayo ili kuweza kuingia katika mfumo. Kuwa Hacker si kitu rahisi k**a tunavyodanganywa kwenye movies za hollywood. Ili uwe Hacker uliyekamilika unahitaji kuwa na ujuzi ufuatao;
1. Misingi ya Computer
Ni lazima ujue jinsi computer inavyofanya kazi, jinsi gani CPU inafanya kazi, jinsi gani RAM inafanya kazi. Pia unatakiwa kuwa na ujuzi wa hardware ya computer. Jifunze kutumia operating system ya Windows na program mbalimbali k**a vile powershell, registry editor na group policy editor. Pia ukiweza jifunze macos.
2. Programming
K**a hacker unatakiwa uwe na ujuzi wa lugha za computer (programming language) zaidi ya moja. Client side language k**a javascript, serverside language k**a PHP na SQL, scripting language k**a python, low level language k**a Assembly na C.
3. Networking
Asilimia kubwa ya shughuli za hacking zinafanyika kwenye mtandao (network).Unakiwa uwe na ujuzi wa aina mbalimbali za Network Protocols, pia unatakiwa kujua tools mbalimbali za networking kam vile wireshark na nmap.
3. Linux/Unix
Program nyingi za kufanyia Hacking zinapatikana kwenye operating system ya linux pekee, hivyo kwa kuijua linux itakuwezesha kuzitumia program hizo kiufasaha. Pia server nyingi zinatumia linux hivyo itakusaida kuzicontrol kiurahisi.
4. Cryptography
Cryptography ni sayansi ya kuficha taarifa ili zisimfikie mtu asiyehusika. Kwa kuijua cryptography itakusaidia kuingia kiurahisi katika mifumo inayotumia encryption, pia itakusaidia kuficha program zako (malware/virus) zisigundulike kiurahisi
5. Jifunze Exploits mbalimbali
Unatakiwa ujue exploits mbalimbali k**a vile OWASP top 10 zote, Buffer overflows, Active Directory misconfugurations.
6. Fanya majaribio
Fanya majaribio kwa kuhack mifumo mbalimbali iliyotengenezwa ka ajili ya majaribio k**a vile metsploitable, shiriki mashindano ya CTF , Itakusaidia kuongeza