Bifad Tanzania

Bifad Tanzania All Solar Related Products

24/03/2026

UMEME WA UHAKIKA NYUMBANI NA BIASHARA!

Je UmeChoka na kukatika kwa umeme? Sasa tuna suluhisho la uhakika kwa kutumia Techfine Solar Inverter zenye ubora wa hali ya juu.
Zinapatikana kwa uwezo mbalimbali kulingana na matumizi yako 👇

✅ 1500 Watts
✅ 3200 Watts
✅ 6200 Watts
✅ 10,000 Watts

✔️ Inafaa kwa nyumba na biashara
✔️ Ufanisi mkubwa wa matumizi ya solar
✔️ Ulinzi dhidi ya overload & short circuit
✔️ Inafanya kazi na betri za lithium au gel
✔️ Umeme wa uhakika hata kukiwa na grid kukatika




🚌

20/03/2026

Usikae Kizembe Mpaka Wakuibie ndo Utafute Kamera🤣

Karibuni Tuna Kamera Za Solar Aina Mbalimbali kwa gharama Nafuu Sanaaa

Namba zetu za simu 0713 130144

Tupo Kariakoo-Dsm


📸


11/03/2026

🚍🚌✈️

10/03/2026

Kwa mahitaji Ya Pump Za Solar Karibuni Sana, Tunazo za Kuvuta Maji Urefu tofauti tofauti kulingana na mahitaji Yako.

Kujua Gharama za Pump ni vizuri kutuambia Urefu Wa Kisima Chako na Makadirio Ya Mahitaji Yako ya Maji Kwa Siku (Lita Ngapi) ndo tunaweza Kukupa bei ya Pump unayohitaji.

Namba Zetu 0713 130144,Tupo kariakoo Dsm

04/03/2026

TAA ZA UREMBO KWAAJILI YA KUWEKA KWENYE NGAZI AU UKUTA, ZINAWAKA VIZURI SANA NA NYUMBA YAKO ITAVUTIA SANAAAA.....

BEI YAKE NI TSH. 10,000 TUU

NAMBA ZETU 0713 130144,TUPO KARIAKOO

Kamera Ya KISASA  Inayotumia Mfumo Wa  Solar✅Inawekwa Line Ya Simu,unajiunga Bando K**a Kawaida.✅Ina uwezo Mkubwa Sana w...
02/03/2026

Kamera Ya KISASA Inayotumia Mfumo Wa Solar

✅Inawekwa Line Ya Simu,unajiunga Bando K**a Kawaida.

✅Ina uwezo Mkubwa Sana wa Kuona Mbali.,kuzoom

✅Ina Sehemu ya kuweka Memory Card Kwaajili Ya Kutunza Kumbukumbu.

✅Ina uwezo Wa Kukaa na Chaji Wiki Mbili hata k**a kuna mvua Kubwa,bila kuzima.

✅Unaweza Kuunganisha Na Simu Yako hata K**a upo Mbali na Unaona yanayoendelea Shambani.,nyumbani,kazini nk

✅Hahitaji Umeme ,inatumia Solar Tuu

Namba Zetu Za Simu 0713 130144

Tupo Kariakoo, Mtaa Wa Amani-Dsm

Bei Yake ni Shilingi 160,000 tuu

28/02/2026

BATTERY MAALUM ZA KUFUNGA KTK PIKIPIKI ZA KUCHAJI ,EBIKE AU GUTA

SIYO KILA BATTERY INAFUNGWA KWENYE GUTA/PIKIPIKI BALI KUNA BATTERY ZAKE MAALUM AMBAZO NDO HIZI HAPA.

KWA BEI NAFUU KABISAA.

NAMBA YA SIMU 0713 130144

26/02/2026

Taa Ya Solar 300watts Yenye mwanga Mkali na Yenye Ubora ,Hizi ni Maalum Kwaajili Ya Kufunga Majumbani au Barabara Ndogo Za Mitaani Ila siyo Barabara Kubwa.

Inakua Na Remote Yake,na Bomba Fupi la kufungia Ukutani,Ikifika Usiku inajiwasha Yenyewe na Asubuhi Inajizima Yenyewe Pia.

Tupo Kariakoo-Dar Es Salaam

Gharama Yake ni 245,000 tuu

Namba zetu 0713 130144





24/02/2026

Power Inverter Ya Kwenye GARI ndo Hii Hapa. ✅

Hii inverter Unaweza Kuchaji Simu Yako, Laptop, na Vitu Vingine K**a Vile unachajia Kwenye Umeme Wa Kawaida.

Ukiwa na Hii POWER INVERTER hautakiwi tena kufikiria namna ya kuchaji simu au laptop yako ukiwa safarini au ktk matembezi Yako.

Hii inabadilisha 12v/24V Kuwa umeme wa kawaida Yaani 220V ili uweze kuendelea na matumizi yako k**a kawaida.

BEI YAKE NI TSH 40,000 TUU

NAMBA ZETU ZA SIMU | 0713 130144

TUPO KARIAKOO-DAR ES SALAAM




🚌

Address

Amani/Livingstone Street
Dar Es Salaam
255

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00
Saturday 08:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bifad Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share