23/02/2023
Gents Tanzania Technology ni kampuni inayokuletea teknolojia mpya katika mifumo ya Viyoyozi (Air Conditioning Systems) na mifumo ya umeme (Electrical Installation and Accessories).
Gents Tanzania Technology imeunda teknolojia hii Ili kukidhi mahitaji mbali mbali ya binadamu.
Gents Tanzania Technology inafanya ufungaji wa Viyoyozi (Air Conditioner) kuanzia uandaaji wa michoro, ufungaji na usimamizi baada ya ufungaji.
Gents Tanzania Technology inatoa huduma ya uangalizi na usimamizi wa majengo (Facility Maintenance & Building Management) kwenye mifumo ya Viyoyozi (Air Conditioning Systems) na umeme (Electrical systems).
Gents Tanzania Technology inatoa huduma ya uuzaji na usambazaji (Sales & Supply) wa Viyoyozi (Air Conditioners) vya aina zote.
Gents Tanzania Technology inatoa huduma ya uuzaji na usambazaji wa Materials yote yanayohitajika katika ufungaji na urekebishaji (Installation & Maintenance) wa Viyoyozi na umeme.
Wasiliana nasi:
E-mail: [email protected]
Website: www.gents.co.tz
Hotline: +255759057399