01/04/2026
Tunatengeneza mashimo ya vyoo ya kisasa ambayo ni ya kudumu, safi, rafiki kwa mazingira na bila usumbufu wa kujaza.
FAIDA ZA MIFUMO YETU:
Hayajai kamwe - hakuna tena shida ya kutoa majitaka. Huchukua eneo dogo hata kwenye viwanja vidogo yanafaa.
Hayatoi harufu kabisa mazingira yanabaki safi na ya kupendeza.
Ni nafuu - gharama zake ni rafiki kwa kila mtu. Rafiki kwa mazingira yanachangia uhifadhi wa ardhi na maji.
Hutumia ardhi yako kwa ufanisi haipotei bure!
GHARAMA ZETU:
Mfumo wa tofali pekee: Tsh 800,000/=
Kuboresha choo cha zamani kwa kuongeza mfumo wa mawe: Tsh 600,000/=
Mfumo kamili kwa maeneo yenye maji: Tsh 1,200,000/=
NB: Gharama zinaweza kupungua kulingana na eneo ulipo! WASILIANA NASI LEO:
0678 670677
0757 970677
Tunafika popote Tanzania nzima! Choo cha kisasa ni heshima kwa familia na mazingira. Tuchukue hatua leo... acha mashimo ya kizamani yasikusumbue tena