Mhandisi Majengo

Mhandisi Majengo Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mhandisi Majengo, Construction Company, Mbagala Majimatitu, Dar es Salaam.

🏗️ Trusted Civil Engineer

Ujenzi wa Nyumba na Majengo ya Biashara

🔧 Design • Ramani • Ujenzi Kamili

📍Temeke - Dar es Salaam

📞 0718600290 | 0755489000

✉️ [email protected]

🎓 Dar Es Salaam Insitute of Technology [DIT] Alumni

27/05/2026

Kisima Chako Kinaweza Kuwa Kinakufa Taratibu Na Wewe Huenda Hujagundua Bado

Leo maji yanatoka

Kesho yanaanza kutoka na tope

Baada ya muda presha inapungua halafu ghafla pump inaanza kusumbua…

Watu wengi hudhani tatizo ni dogo lakini ukweli ni huu:

Visima vingi havifi kwa kukosa maji vinaharibika kwa kukosa matengenezo

Tope, vumbi, vipande vya miamba na uchafu hujikusanya ndani ya kisima taratibu mpaka njia za maji zinaziba

Ndiyo Maana:

- Maji Yanakuwa Machafu

- Kiwango cha Maji Kinapungua

- Pump inalazimika kufanya kazi kwa nguvu zaidi

- Na gharama za matengenezo zinaanza kuongezeka

Habari Njema ni Kwamba…

Kabla tatizo halijawa kubwa, kisima kinaweza kusafishwa na kurudi kwenye ubora wake tena

Kupitia Flushing Ya Kitaalamu Tunasaidia:

(i) Kuondoa tope na uchafu uliopo ndani ya kisima

(ii) Kusafisha kokoto zinazochuja maji

(iii) Kufungua njia za maji zilizoziba

(iv) Kuboresha mtiririko wa maji

(v) Kuongeza ufanisi wa kisima na pump

Pia Tunafanya Ukarabati Wa Kisima Kwa:

(i) Kukagua mfumo mzima wa maji

(ii) Kuangalia maungio yanayovuja

(iii) Kukagua pump k**a ina tatizo

(iv) Kufanya marekebisho ya kitaalamu kabla hujapata hasara kubwa

Usisubiri Mpaka Maji Yakate Kabisa Ndiyo Uchukue Hatua...

Dalili Ndogo za Leo Kesho Zinaweza Kuwa Gharama Kubwa

Tunatoa Huduma Za

(i) Groundwater Survey

(ii) Uchimbaji Wa Visima vya Maji

(iii) Kusafisha Visima (Flushing)

(iv) Kufunga Na Kutengeneza Pump

(v) Na Huduma Zote Zinazohusiana Na Visima

Piga Simu Leo: 0718600290

Email: [email protected]

26/05/2026

Kisima Chako Kinaweza Kuwa Kinakufa Taratibu Na Wewe Huenda Hujagundua Bado

Leo maji yanatoka

Kesho yanaanza kutoka na tope

Baada ya muda presha inapungua halafu ghafla pump inaanza kusumbua…

Watu wengi hudhani tatizo ni dogo lakini ukweli ni huu:

Visima vingi havifi kwa kukosa maji vinaharibika kwa kukosa matengenezo

Tope, vumbi, vipande vya miamba na uchafu hujikusanya ndani ya kisima taratibu mpaka njia za maji zinaziba

Ndiyo Maana:

- Maji Yanakuwa Machafu

- Kiwango cha Maji Kinapungua

- Pump inalazimika kufanya kazi kwa nguvu zaidi

- Na gharama za matengenezo zinaanza kuongezeka

Habari Njema ni Kwamba…

Kabla tatizo halijawa kubwa, kisima kinaweza kusafishwa na kurudi kwenye ubora wake tena

Kupitia Flushing Ya Kitaalamu Tunasaidia:

(i) Kuondoa tope na uchafu uliopo ndani ya kisima

(ii) Kusafisha kokoto zinazochuja maji

(iii) Kufungua njia za maji zilizoziba

(iv) Kuboresha mtiririko wa maji

(v) Kuongeza ufanisi wa kisima na pump

Pia Tunafanya Ukarabati Wa Kisima Kwa:

(i) Kukagua mfumo mzima wa maji

(ii) Kuangalia maungio yanayovuja

(iii) Kukagua pump k**a ina tatizo

(iv) Kufanya marekebisho ya kitaalamu kabla hujapata hasara kubwa

Usisubiri Mpaka Maji Yakate Kabisa Ndiyo Uchukue Hatua...

Dalili Ndogo za Leo Kesho Zinaweza Kuwa Gharama Kubwa

Tunatoa Huduma Za

(i) Groundwater Survey

(ii) Uchimbaji Wa Visima vya Maji

(iii) Kusafisha Visima (Flushing)

(iv) Kufunga Na Kutengeneza Pump

(v) Na Huduma Zote Zinazohusiana Na Visima

Piga Simu Leo: 0718600290

Email: [email protected]

TUPO TANGA! 📢💧​Je, unahitaji huduma bora na za uhakika za upimaji wa maji na uchimbaji visima?!Tumefika Mlangoni Mwako.....
23/05/2026

TUPO TANGA! 📢💧

​Je, unahitaji huduma bora na za uhakika za upimaji wa maji na uchimbaji visima?!

Tumefika Mlangoni Mwako...

​Tupo safarini kutoa huduma zetu katika mkoa wa Tanga

Ratiba Yetu ni K**a Ifuatavyo:

📍 Tunaanzia Handeni [Leo Tupo Hapa]

📍 Kisha tunahamia Korogwe

📍 Mwisho tutakuwa Pongwe

23/05/2026 hadi 07/06/2026

​💥 OFA KUBWA KWA WAKAZI WA TANGA

​Tunatoa Huduma Zetu kwa Bei ya Ofa:

🔹 Upimaji wa Maji (Survey): Tsh 350,000/= tuu

🔹 Uchimbaji wa Kisima: Tsh 75,000/= kwa mita

​Usikose nafasi hii ya kupata maji safi na ya uhakika kwa gharama nafuu

Wasiliana nasi sasa kwa namba: 0718600290 ili kuweka nafasi yako mapema

​Huduma Zetu ni za Uhakika

17/05/2026

Well Development

⛏️💧 Pro Water Consultancy Limited

⚙️ Teknolojia Ya Kisasa

💯 Huduma Ya Kitaalamu
______________

Huduma Zetu:

🔎💧 Utafiti Wa Kina Wa Maji Ya Ardhini

⚙️ 🛠️ Uchimbaji Wa Visima Kwa Kutumia Teknolojia Ya Kisasa

💬‼️ Ushauri Na Huduma Za Baada Ya Uchimbaji

Wasiliana Nasi Leo | Ushauri Ni Bure

Simu: 0718600290 - 0745687585

Barua Pepe: [email protected]

Tunakupa Suluhisho La Maji Kwa Mahitaji Yako

02/05/2026

SURVEY YA MAJI YA CHINI YA ARDHI

📍 Misugusugu Primary School
_____________________

-USICHIMBE KISIMA KABLA YA SURVEY

Epuka Hasara Kubwa Na Majuto

Fanya Survey Ya Kitaalamu Ya Maji Kabla Ya Kuchimba Kisima Kwenye Eneo Lako

🔎 UKICHIMBA KISIMA NASI UNAPATA:

-Uhakika Wa 100% Kupata Maji Ya Kudumu

- Maji Safi, Salama Na Yanayofaa Kwa Matumizi Ya Kila Siku

- Ushauri Wa Kitaalamu Kabla Ya Uchimbaji

- Huduma Ya Uhakika

📞 USHAURI NI BURE – WASILIANA NASI SASA

0718 600 290 | 0745 687 585

📧 [email protected]

24/04/2026

DODOMA…

Maji Yapo Chini Ya Miguu Yako Lakini Watu Wengi Wanapoteza Hela Kwasababu Hawajui Yapo Wapi

Tupo Nkuhungu NA TUTAKAA HAPA KWA SIKU 5 TUU

Baada ya Hapo Tunaondoka

Kwa Hyo...

K**a Unafikiria Kuchimba Kisima, Huu Siyo Muda wa Kubahatisha

Wengi Wamechimba, Wakapoteza Mamilioni Bila Hata Tone la Maji

Sisi Tunakuja na Suluhisho la Uhakika:

Tunakuonyesha

1️⃣ Mahali sahihi pa kuchimba

2️⃣ Kina halisi cha maji

3️⃣ Uwezo wa maji [water yield]

Ili Usipoteze Pesa Yako

Kwa Kuwa Tuko Hapa Dodoma Tumekuja na OFA YA MUDA MFUPI:

✅️ Survey ya kitaalamu sasa ni 350,000/= tu
[Unapata data kamili kabla hujachimba]

✅️ Uchimbaji wa kisima: 75,000/= kwa mita

Lakini Kumbuka…

Ofa Hii ni Kwa Wale Watakaoweka Miadi Ndani ya Siku Hizi 5 TUU Tukiwa Nkuhungu

Ukichelewa Basi Utarudi Kwenye Kubahatisha Tena

Usikubali Kuwa Miongoni Mwa Waliopoteza Pesa kwa Kisima Kisichotoa Maji

Chukua Hatua Sasa

📍 Nkuhungu, Dodoma
📞 0718 600 290

21/04/2026

Surveying

📍 Babati - Manyara

⛏️💧 Pro Water Consultancy Limited

⚙️ Teknolojia Ya Kisasa

💯 Huduma Ya Kitaalamu
______________

Huduma Zetu:

🔎💧 Utafiti Wa Kina Wa Maji Ya Ardhini

⚙️ 🛠️ Uchimbaji Wa Visima Kwa Kutumia Teknolojia Ya Kisasa

💬‼️ Ushauri Na Huduma Za Baada Ya Uchimbaji

Wasiliana Nasi Leo | Ushauri Ni Bure

Simu: 0718600290 - 0745687585

Barua Pepe: [email protected]

Tunakupa Suluhisho La Maji Kwa Mahitaji Yako

20/04/2026

Pro Water Consultancy Limited | Tunachimba Visima Vya Maji Vya Uhakika

Ikiwa Umetafuta Huduma Ya Kuchimba Kisima Kwa Uhakika Ili Uhakikishe Pesa Yako Haipotei Kwa Kazi Ya Kubahatisha Basi Tunalo Suluhisho Kwa Ajili Yako

Tunakuletea Huduma Ya Uchimbaji Wa Visima Vya Maji Kwa Viwango Vya Juu Sana Na Zaidi Ya Yote, Tunakupa Guarantee Ya Huduma Yetu, Ikiwa Ni Pamoja Na:

🔹 Uhakika Wa Ubora

🔹 Upatikanaji Wa Maji

🔹 Huduma Baada Ya Uchimbaji

🔹 Kudumu Kwa Kisima

🔹 Huduma Kwa Wateja

📍Tunatoa Huduma Zetu Mikoa Yote Ya Tanzania

Wasiliana Nasi Leo

0718 600 290

[email protected]

Guarantee Inakuwepo Kwa Kila Kisima Tunachochimba

18/04/2026

ALIPOTEZA MILIONI 14.7 BILA KUPATA HATA TONE LA MAJI...

Hii sio hadithi ya kusadikika

Ni tukio halisi lililomkuta Mzee Shirima, mkulima shupavu kutoka Motamburu, Tarakea – Kilimanjaro

Ilikua ni July 2023

Mzee Shirima alikuwa na ndoto moja tuu: Kuwa na maji ya uhakika shambani kwake ili kilimo chake kisikwame

Lakini, alifanya kosa moja kubwa ambalo watu wengi bado wanalifanya hadi leo...

Alisikiliza ushauri wa "vijiweni"

"Mzee Shirima, usipoteze pesa kufanya Survey, huku maji ni mengi, chimba tuu utapata"

Akawaamini...

Akaleta mashine na kazi ikaanza

- Siku ya 1: Matumaini yalikuwa juu sana

- Siku ya 2: Hakuna dalili ya unyevunyevu

- Siku ya 3: Walifika mita 180 [badala ya mita 100 walizokubaliana]

Gharama zikaongezeka mara dufu na maji hakuna

Mzee Shirima anasema:

"Nilikaa kwa upole nikiangalia lile shimo tupu. Pesa zimeenda, nguvu zimepotea, na sikuwa na hamu tena ya kuanza upya."

Baada ya miezi ya maumivu, alipata ushauri sahihi: "Fanya SURVEY kwanza, acha kubahatisha mamilioni yako."

Hapo ndipo alipotufikia sisi, Pro Water Consultancy Ltd

Japokua alikua mkali kwani alituambia safari hii nikikosa maji nawafunga...

1. Tulifanya survey ya kitaalamu

2. Tukampatia ramani sahihi ya miamba ya ardhi yake

3. Tukamwonyesha "Point" sahihi yenye mkondo wa maji

MATOKEO?!

Alipochimba mita 150 tuu... MAJI MENGI YAKATOKA

Leo Mzee Shirima anasema: "Ningejua mapema nisingepoteza pesa zile. Survey ndio kila kitu."

Tahadhari: USISUBIRI UJIFUNZE KWA HASARA YAKO Jifunze kupitia makosa ya wengine

Sisi ni Mabingwa wa Utafiti [Survey] na Uchimbaji

Tunakusaidia:

1. Kujua sehemu sahihi ya kuchimba [Zero Guesswork]

2. Kupata maji ya uhakika kwa gharama nafuu

3. Kuepuka hasara ya mamilioni ya shilingi

OKOA PESA YAKO LEO

Wasiliana nasi kwa ushauri:

Simu/WhatsApp: 0718600290

Email: [email protected]

Pro Water Consultancy Ltd: Tunakuhakikishia Maji, Tunakulinda Dhidi Ya Hasara

17/04/2026

Pro Water Consultancy Limited

Tunachimba Visima Vya Maji Vya Uhakika

Ikiwa Umetafuta Huduma Ya Kuchimba Kisima Kwa Uhakika Ili Uhakikishe Pesa Yako Haipotei Kwa Kazi Ya Kubahatisha Basi Tunalo Suluhisho Kwa Ajili Yako

Tunakuletea Huduma Ya Uchimbaji Wa Visima Vya Maji Kwa Viwango Vya Juu Sana Na Zaidi Ya Yote, Tunakupa Guarantee Ya Huduma Yetu, Ikiwa Ni Pamoja Na:

🔹 Uhakika Wa Ubora: Tunafanya Kazi Kwa Viwango Vya Kitaalamu [Industry Standards]

🔹 Upatikanaji Wa Maji: Tunakupatia Kisima Chenye Maji Ya Kutosha Kulingana Na Tathmini Sahihi Ya Kijiolojia

🔹 Huduma Baada Ya Uchimbaji: Tunabaki Na Wewe Kwa Ushauri Wa Kiufundi Na Huduma Nyingine

🔹 Kudumu Kwa Kisima: Visima Vyetu Vinadumu Kwa Miaka Mingi Bila Shida

🔹 Huduma Kwa Wateja: Timu Yetu Inapatikana Muda Wote Kukusaidia Kwa Haraka

📍Tunatoa Huduma Zetu Mikoa Yote Ya Tanzania

Wasiliana Nasi Leo

0718 600 290
[email protected]

Guarantee Inakuwepo Kwa Kila Kisima Tunachochimba

Address

Mbagala Majimatitu
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mhandisi Majengo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mhandisi Majengo:

Share