Juma hamisi mohamedi

Juma hamisi mohamedi mechanics drill & motor vehicles assembly

TAARIFA YA WANACHAMA WA FRIENDS OF MNARA SEC.Sisi wanachama wa Friends of Mnara Secondary School tunayo heshima kubwa ku...
18/10/2025

TAARIFA YA WANACHAMA WA FRIENDS OF MNARA SEC.

Sisi wanachama wa Friends of Mnara Secondary School tunayo heshima kubwa kuwasilisha rasmi taarifa hii kwa uongozi wa shule, Wanafunzi, Wahitimu, Mgeni rasmi na wageni waalikwa katika siku hii adhimu ya mahafali ya pili baada ya miaka 15 kupita.

Kupitia michango ya wanachama wetu, tumeweza kufanikisha upatikanaji wa vifaa mbalimbali kwa ajili ya shule, ikiwemo:

Jezi pair 2

Mipira 3

King’amuzi cha Azam TV, pamoja na

Kifurushi cha mwezi mmoja (TZS 28,000/=) kwa ajili ya kulipia huduma ya Azam TV.

Vifaa hivi vimesafirishwa kutoka Dar Es Salaam na Anna Charles na vitakabidhiwa rasmi leo mbele ya hadhira ya mahafali k**a zawadi ya upendo, mshik**ano, na hamasa kutoka kwa wanachama wa Friends of Mnara Sec wanaoishi sehemu mbalimbali za Tanzania na nje ya nchi, kwa shule yetu ya Mnara Secondary School.

Tunatoa shukrani za dhati kwa kila mwanachama kwa moyo wa kujitolea, umoja na ari ya maendeleo iliyopelekea kufanikisha hatua hii muhimu. Huu ni mwanzo wa safari ndefu ya ushirikiano endelevu kati ya wanachama na shule yetu katika kuimarisha elimu, michezo na ustawi wa wanafunzi.

VIONGOZI WA FRIENDS OF MNARA SECONDARY SCHOOL

Mwenyekiti: Aid Olaf

Makamu Mwenyekiti: Faraja Mapengo

Katibu: Juma Hamisi Mohamed

Naibu Katibu: Habiba Malunda

Mweka Hazina: John Ndonde

Mhasibu Msaidizi: Anna Charles

WAJUMBE WA URATIBU WA KANDA

Ally Ngatame

Polika Sebastian

MRATIBU WA NIDHAMU NA USHIRIKISHWAJI au "baba la nidhamu": Aziz Kanjala

*SHUKRANI MAALUM*

Kwa heshima ya kipekee, wanachama wote wa Friends of Mnara Sec wanampongeza *Yusuf Mwijeje,* ambaye ingawa hajasoma Mnara Secondary School, lakini amekuwa nasi bega kwa bega katika kila hatua kupitia michango yake, hamasa na moyo wa upendo kwa maendeleo ya shule yetu.

LENGO NA DHIMA YA KIKUNDI

Friends of Mnara Sec kimejikita katika kujenga umoja na kusaidiana katika mambo mbalimbali ya kijamii na kibinadamu, ikiwemo:

Kuchangia gharama za matibabu kwa mwanachama anapopatwa

Awee
28/09/2025

Awee

20/09/2025

🤣🤣🤣😂😂
Nikiwa na stress sitaki usumbufu

20/09/2025

🤣🤣🤣foka k**a mzazi

This time tomorrow 🫵🫵
17/09/2025

This time tomorrow 🫵🫵

13/09/2025
Kitaa kinatufunza kuvumilia
10/09/2025

Kitaa kinatufunza kuvumilia

Tupambane lawama zipo tih
10/09/2025

Tupambane lawama zipo tih

Some where
10/09/2025

Some where

Address

Dar Es Salaam
JUHAMOTZ

Telephone

+255622217649

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Juma hamisi mohamedi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Juma hamisi mohamedi:

Share