12/05/2026
Wakulima wenzetu huko kwenu mahindi sasa yapo stage gani?Tukiwa tunajiandaa na msimu wa mavuno.......Tayari tumewaletea mashine hizi za kupukuchua mahindi, bei ni 1,350,000 tu. Mashine ina uwezo wa kupukuchua zaidi ya Tani 1 kwa saa 1 (Kilo 1200 kwa saa).
Mashine ni ya mafuta ya PETROL popote ulipo unaweza kuitumia.Tunapatikana Sinza Mori jirani na Delina Apartment, namba zetu za simu/Whatsapp: 0715 316 614. Ukihitaji kusafirishiwa ulipo tunaweza kukutumia.