08/08/2025
🎁 Kwa gharama ya 750,000 utajengewa shimo la choo cha kisasa kisichojaa maji taka (shimo la tofali) na 1,200,000 utajengewa shimo la tofali pamoja na mfumo wa mawe. Vifaa, uchimbaji na ujenzi ni juu yetu.
TUPIGIE KWA SIMU. ☎️ 0717 589 589
KITU KIZURI ZAIDI MFUMO HUU
✅Haujai maji taka (maji hupotea ardhini)
✅Hutumia eneo dogo la ardhi ( futi 6 kwa mapana)
✅Hautemi arufu ( arufu hupotea ardhini )
✅Huokoa gharama za kutapisha choo Mara kwa Mara
✅ Ni imara na salama kwa matumizi ya juu.
Tunakufikia mikoani pia karibuni wote