Silicon Lab

Silicon Lab Silicon Lab ni maabala inayohusika na kutengeneza na kuuza aina zote za vifaa vya simu na kompyuta

13/02/2026

Apple haijathibitisha rasmi tarehe ya kutolewa ya iPhone 18 pro na 18 pro Max, lakini kulingana na taarifa za tovuti ya upelelezi ya soko, kuna mawazo makuu kuhusu lini na jinsi itakavyokuwa bora zaidi kuliko iPhone 17 ;

📌 iPhone 18 Pro na Pro Max (na foldable mpya) — inatarajiwa kutolewa 2026, kawaida Septemba. Hii ni sawa na ratiba ya miaka yote ya kuachiliwa kwa bidhaa ya Apple kwa modeli zake za juu.

Hizi ni baadhi ya vitu vinavyosemwa kuonekana kwenye iPhone 18 (hasa Pro/Pro Max):
⚡ Processor mpya:
🔹 Itatumia A20 chip mpya, yenye ufanisi wa hali ya juu, na uwezo wa AI kuliko A19 iliyopita.
📸 Kamera:
🔹 Modi ya Pro inaweza kupata variable-aperture camera — hii inaruhusu lens kubadilisha ukubwa wa aperture, na kufanya picha kuwa bora zaidi hasa kwenye mwanga mdogo (usiku) na mwanga mwingi

Pia Kwa mara ya kwanza Apple inatarajiwa kutoa model ya foldable, pia k**a sehemu ya familia ya iPhone 18.

Karibu kwa ajili ya ;
Kubadilisha vioo vya simu aina zote Original Quality
Kubadilisha betry za simu aina zote zenye uwezo mkubwa
Namba zetu ni 0764111116.

10/02/2026

🔧 Ushauri wa haraka:
🤝Tumia case/cover laini (TPU/silicone) isiyoziba sehemu za antena au iwe loose isiyo bana kona
🙌Epuka kuweka simu mfukoni wa nyuma
🤔Kwa mafundi: epuka gundi ngumu—inaweza kuathiri signal antenna; repair sahihi ni kubadilisha housing/fremu

Huo mpasuko uko kwenye mstari wa antena (antenna band) karibu na kona ya juu ya iPhone 17. Sababu kuu zinazochangia hali hii ni hizi:

1. Inasemekana APPLE ilitumia mchanganyiko wa plastiki/resin kwenye mistari ya antena. Material hii ni nyepesi pia haihimili shinikizo au presha ya muda mrefu, hasa pembeni na kwenye kona.

2. Shinikizo au Presha ya mfukoni
Simu ikiwa mfukoni kwenye suruali ikiwa imebanwa au ndani ya mkoba au pochi iliyobana sana, au kukaliwa mara kwa mara, mgandamizo au presha hukusanyika kwenye kona—hapo ndipo mpasuko huanza bila hata kuanguka.

3. Sehemu zenye Joto kali
Chuma cha fremu na plastiki ya antena hupanuka kwa viwango tofauti wakati wa joto

4. Kutumia Cover lisilo laini na lenye kubana sana linalosababisha simu kupata joto mda mwingi.

tunatoa huduma za kurekebisha Mifunjko ya nyuma simu zote , Vioo vya Simu zote , Betry pia na Matatizo yote ya Simu. Wasiliana nasi kwa namba 0764111116. Tunapatikana Kariakoo mtaa wa Masasi Karibu na kanisa la KKKT.

Usiogope,  tunarekebisha, tunarejesha , tunashinda pamoja.Njo turejeshe kioo chako cha Simu na Betry zenye Ubora wa hali...
04/02/2026

Usiogope, tunarekebisha, tunarejesha , tunashinda pamoja.
Njo turejeshe kioo chako cha Simu na Betry zenye Ubora wa hali ya juu, Original Quality.Tupo Kariakoo Mtaa wa Masasi jengo la "Horizon Tower" bei zetu ni humuuui tu, kitonga sana lakini Quality ni Original. Tucheki 0764111116
- Vioo vyote vya Simu
- Betry zote za Simu
- Backglass za Simu zote
- Pia tunarekebisha na tunarejesha Computer iliyoharibika kua nzima tena.
Karibuni wote

Kumekua na wimbi kubwa sana la simu za iPhone Original na High Copy. Hebu tuambie hapo ipi ni Original ipi ni High Copy ...
22/01/2026

Kumekua na wimbi kubwa sana la simu za iPhone Original na High Copy. Hebu tuambie hapo ipi ni Original ipi ni High Copy na Unajuaje Original na High Copy ?

14/01/2026

🔌 Charging Flex Original Quality
❌️Simu yako haiingii chaji?
❌️Mic haisikiki au speaker ya chini haina sauti?

✅ Huu mkanda ndio Suluhisho la hayo matatizo:
• Tatizo la kuchaji
• Mic ya chini
• Speaker ya chini
• Signal za chini
📱 Inapatikana kwa iPhone 11 mpaka iPhone 14

🛠 Ubora wa Original – tayari kufungwa
📩 DM au WhatsApp kwa oda 0764 111116
💯 Quality, Karibu tusolve tatizo la Simu yako.
Tupo Kariakoo Mtaa wa Masasi na Msimbazi, Jirani kabisa na kanisa la KKKT Kariakoo

Kwa Washirika wetu na wateja wetu Mhimu, kwa niaba ya Team nzima ya , nichukue nafasi hii kuwatakia Kheri ya Mwaka Mpya ...
31/12/2025

Kwa Washirika wetu na wateja wetu Mhimu, kwa niaba ya Team nzima ya , nichukue nafasi hii kuwatakia Kheri ya Mwaka Mpya wa 2026 Ukawe Mwaka wa Baraka na Mafanikio zaidi na Utajiri wa Afya na Uchumi. Tunashukuru kwa kuendelea kufanya kazi na sisi, tunaomba radhi pale tulipopungua na tuna ahidi Kuboresha zaidi Huduma zetu pale tulipopelea.
Wewe ni wa Mhimu sana kwetu, 2026 Safari ikawe Salama yenye mafanikio Makubwa
==============////
[庆祝]2026新年快乐!祝我们所有合作伙伴,新的一年生意兴隆,财源广进,万事顺意,六六大顺!携手同行,共赢新程✨
===============/////
Happy New Year 2026! Wishing all our partners a prosperous business, abundant wealth, smooth journeys and great success in the new year. 2026, all the best!
=========//////////////

05/11/2025
Front glass + OCAX – 4,000XM – 4,00011P – 4,00011PM – 4,00012 – 4,00012PM – 4,00013 – 4,00013PM – 4,00014 / 14P – 4,5000...
24/10/2025

Front glass + OCA

X – 4,000
XM – 4,000
11P – 4,000
11PM – 4,000
12 – 4,000
12PM – 4,000
13 – 4,000
13PM – 4,000
14 / 14P – 4,5000
14Plus / 14PM – 4,500
15 / 15P – 4,5000
15Plus / 15PM – 4,500
16 / 16P – 5,000
16Plus / 16PM – 5,000

Tunapatikana Mtaa wa Masasi na Msimbazi , nyuma ya kanisa la KKKT (Horizon Tower) .
Tupigie au WhatsApp kwa 0764111116

Mdau kutoka X anaelezea namna mkasa wa Simu ya Wizi ilivyo ondoka na Chain ya watu. Jitahidi sana kuepuka kununua simu a...
11/10/2025

Mdau kutoka X anaelezea namna mkasa wa Simu ya Wizi ilivyo ondoka na Chain ya watu. Jitahidi sana kuepuka kununua simu ambayo hujui source yake na iliyotumika. Kwa sasa Teknolojia imeboreshwa na Cybersecurity iko very active na unaweza k**atwa na simu iliyotumika kwenye tukio baya kesi ikakuangukia na kukuendesha kwa mda mrefu.
Cha kufanya;
1. Nunua simu kwenye maduka rasmi ya Simu
2. Dai Warranty card au risiti au document yoyote inayoonyesha kuna biashara imefanyika kati yenu
3. Weka record vizuri, record IMEI number , Serial number kisha zitunze kwa kumbukumbu zitakapohitajika
4. Ikilazimu ununue mkononi basi jitahidi ue na uhakika mtumiaji anaekuuzia mnafahamiana na jiridhishe simu haina tukio lolote....... k**a lipo tumesahau naomba tukumbushane katika Comments.
🚨Kwa ushauri , na tatizo lolote la kiufundi Upande wa Simu na Computer usisite kutucheki kwa namba 0764111116.

0764 111116-  📲the lip case + lip tints kuanzia iPhone 11 hadi iPhone 14 bei ni Tsh 20,000 tu !! Ukichukua 3pcs utalipia...
26/06/2025

0764 111116- 📲
the lip case + lip tints kuanzia iPhone 11 hadi iPhone 14 bei ni Tsh 20,000 tu !!
Ukichukua 3pcs utalipia 40,000 tu ! Unaruhusiwa kuchanganya rangi 🔥
💎 Mikoani tunatuma
Tupo Kariakoo mtaa wa Masasi , Delivery ipo mpaka ulipo.Karibuni sana

Address

Mwenge
Dar Es Salaam
11000

Opening Hours

Monday 09:00 - 20:00
Tuesday 09:00 - 20:00
Wednesday 08:00 - 20:00
Thursday 08:00 - 20:00
Friday 08:00 - 20:00
Saturday 08:00 - 20:00
Sunday 11:00 - 20:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Silicon Lab posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share