Ezra Charles Ngajilo

Ezra Charles Ngajilo EXPERT AND COMPETENT DESIGNER AND MANUFACTURER OF "FOOD AND AGRICULTURAL PROCESSING MACHINERIES".

Moja ya   inayokua kwa kasi sana   ni biashara ya     za     .Faida ya biashara hii ninkuwa, marighafi yanapatikana kwa ...
29/01/2025

Moja ya inayokua kwa kasi sana ni biashara ya za .

Faida ya biashara hii ninkuwa, marighafi yanapatikana kwa gharama ndogo sana.

Bei ya kuuzia ipo juu sana. Jambo ambalo linaifanya iwe biashara yenye faida kubwa sana ikiwa tu utaamua kuifanya kwa nguvu zako zote.

Mahitaji muhimu ya biashara hii ni;

1. Marighafi husika ( chupa za plastiki )

2. Vitendea kazi k**a ( ya ), Mashine ya kugandakiza ( au ),

3. Wateja

4. Wafanyakazi

5. Mtaji wa kutosha

Mahitaji haya ni rahisi sana kuyapata ikiwa tu una nia ya kweli kukamilisha au kuufanya mradi huu. Kwa sababu, mahitaji haya yote yapo na yanapatikana hapahapa Tanzania.

Ikiwa unahitaji msaada wowote katika mahitaji haya wasiliana nasi tutakusaidia.

Kwetu utaweza kuzipata aina zote, Wafanyakazi, ushauri wa biashara n.k

Mawasiliano: 0682 836 463

Location: TEMEKE - DAR ES SALAAM

share, save post hii, pia follow page yetu uweze kujifunza mengi zaidi bure kabisaaa.



  hapa ni ofisini kwetu ambapo tunatumia kuunda mashine mbalimbaliKatika picha hizo ni baadhi ya mashine za wateja zikiw...
19/12/2024

hapa ni ofisini kwetu ambapo tunatumia kuunda mashine mbalimbali

Katika picha hizo ni baadhi ya mashine za wateja zikiwa zinaendelea na matengenezo na zingine zipo tayari kwa usafirishaji

Tunatoa Ushauri, usaidizi wa kuziona fursa, matengenezo ya mashine na viwanda, Elimu ya ujasiliamali n.k

Mawasiliano: 0682 836 463

Location: TEMEKE- DAR ES SALAAM

Follow

Watu wengi wanapitia changamoto za   mbaya. Baadhi yao wameona ni vema wageukie upande wa biashara.Lakini swali moja kub...
13/12/2024

Watu wengi wanapitia changamoto za mbaya. Baadhi yao wameona ni vema wageukie upande wa biashara.

Lakini swali moja kubwa kwa watu wengi wanapotaka kuanzisha safari yao ya ujasiliamali hua ni ?

Swali hili limewavuruga na linaendelea kuwavuruga watu wengi sana. Inahitaji ujuzi mkubwa kuwa na uwezo wa kuziona na kuzitambua fursa katika mazingira yoyote. Ila....
...ujuzi huo ni wachache sana ambao tunao na tunaendelea kuutumia kwa Ajili ya jamii kubwa.

Iko hivi sasa....
...sisi tumekua tukiwaonesha fursa mbalimbali watu wengi maeneo tofauti Tofauti. Wengi wamenufaika na wanaendelea kunufaika zaidi.

Ikiwa wewe bado unasumbuka na hili tutafute tukusaidie. Lakini...
..Leo nakuonesha fursa mojawapo yenye uwezo wa kukutoa kimaisha mwaka 2025. Tunakushauri hili kwanza....

Anza ya au . Hii ni biashara ambayo ipo kwenye sekta ya mafuta. K**a ujuavyo vyomboa vya moto duniani vinahitaji mafuta, Binadamu anahitaji mafuta ya kula kila siku,sabuni, chocolate, vinywaji viwandani, Mifugo n.k yote inahitaji mafuta ili kutoa bidhaa mpya iliyo bora

Sasa yanahitajika zaidi kuliko mafuta mengine yote duniani ila wengi hawajui.

Sasa mchongo ni kua, sisi tunauzoefu wa miaka 20+ katika biashara hii.

Na sasa tupo tayari kutoa elimu,marifa yote kwa wanaopenda kujifunza.

Tunatoa siri zote ili uweze kufanikiwa katika biashara hii.....

Kwa mengi zaidi wasiliana nasi leo kabla sikukuu haijafika tukawa likizo.

Mawasiliano: 0682 836 463

Eneo: TEMEKE- DAR ES SALAAM

Follow na share page hii na wenzako wajifunze zaidi...



Endeleza harakati utoboe misha. Miliki   chako cha   na  .Pata   leo hii. Tunazo kuanzia zenye uwezo wa 500kg/h hadi 200...
26/11/2024

Endeleza harakati utoboe misha. Miliki chako cha na .

Pata leo hii. Tunazo kuanzia zenye uwezo wa 500kg/h hadi 20000kg/h.

Fika ofisini tukupe msaada katika masuala ya aina zote. Mashine zetu zote ni imara sana.

Mawasiliano: 0682 836 463

Eneo: TEMEKE- DAR ES SALAAM

JE WAJUA?- Matunda ya mawese au chikichi ndio matunda pekee duniani yenye uwezo wa kutoa mafuta ya aina mbili ya kupikia...
14/10/2024

JE WAJUA?

- Matunda ya mawese au chikichi ndio matunda pekee duniani yenye uwezo wa kutoa mafuta ya aina mbili ya kupikia?

- Inawezekana ulikua hujui kuhusu hili lakini nitakupatia ukweli zaidi.

- Inawezekana wewe hapo unajua kiasi flan kuhusu mafuta ya chikichi au mawese lakini umekua ukipata hasara k**a unafanya biashara hii au ukipitwa na fursa mbalimbali kuhusu Mawese.

ipo kwa Ajili yako kukupa Taarifa/updates mbalimbali ndani ya muda muafaka.

- Kuna mwingine pia inawezekana upo mahali umesikia kua Biashara ya inalipa sana lakini hujui uanzie wapi.

- Ninyi nyote mnastahili sana kuingia katika program maalumu inayoendeshwa na

- Program hii kwa sasa ni bure kabisa. Mtu yeyote anaweza kujiunga nayo na akanufaika sana.

• Jiunge leo kwa kutuma ujumbe WhatsApp wenye neno "MAWESE2025" kwenda

WhatsApp: 0682 836 463

Utaungwa mara moja bila kuchelewa.

KUANZIA: 16-10-2024

KIINGILIO: BURE

MUDA: Saa 3:00 Usiku

- Mahali: Online WhatsApp group.

Uzoefu wa mkufundi: Mjasiliamali wa Mawese/chikichi kwa zaidi ya miaka 20 sasa.

- Program hii ya bure haitajirudia tena, hivyo ukikosa hii, jua utatakiwa kulipia zaidi ya Tshs. 150,000 ili Ujifunze kwa undani zaidi.

Save, Share ujumbe huu

Follow

Riziki ni popote pale. Uchumi utaupata poppte pale. Riziki ni miguu yako. Lakini........wengi wameendelea kung'ang'ania ...
13/10/2024

Riziki ni popote pale. Uchumi utaupata poppte pale. Riziki ni miguu yako. Lakini.....
...wengi wameendelea kung'ang'ania kile wanachokifanya kwa sasa ikiwa AJIRA, Biashara inayomtia hasara kila siku n.k. Sisemi kua Ajira ni mbaya ila Ajira inakua mbaya k**a haukubadilishii maisha yako katika upande Chanya.

Nina habari njema sana kwako wewe ambae umekua na hamu kubwa ya kuutafuta utajiri na mafanikio makubwa sana.

Nina Darasa ambalo nitalifundisha na litahusu sana , na kwa ujumla wako.

Hili ni zao ambalo linatoa mafuta 60% ya mafuta yote duniani. Na ndio zao ambalo nchi moja tu duniani inazalisha 60%, na ya pili 25% na zinazosalia zinazalishwa na nchi nyingine ikiwemo Tanzania

K**a ulikua hujui hiyo ndio habari ya mjini, sasa nina darasa ambalo nitakwenda kufundisha kila kitu A - Z Kuhusu Zak hili na namba ya kujikwamua kiuchumi.

Jinsi ya kujiunga: Tuma neno MAWESE2025 kwenda WhatsApp namba 0682 836 463

Kiingilio: BURE

darasa ni Online kwa WhatsApp group.

Video, picha, sauti, Maandishi ndio njia za mafundisho ili kuelewa.

Uzoefu wa mkufundi: Mjasiliamali wa Mawese/chikichi kwa zaidi ya miaka 20 sasa.

Save, Share ujumbe huu

Follow

  ya   ilitajwa kua miongoni mwa biasahara zinazomwingizia kipato kikubwa sana Mo Dewji.Ili kupata uhakika wa hilo, temb...
12/10/2024

ya ilitajwa kua miongoni mwa biasahara zinazomwingizia kipato kikubwa sana Mo Dewji.

Ili kupata uhakika wa hilo, tembelea katika posts zake na utaiona mojawapo akiongelea hilo.

Ukweli ni kwamba, ni zao lenye fursa kubwa sana duniani. Indonesia 🇮🇩 ndio nchi inayoongoza kilimo hiki, Malaysia 🇲🇾 ikifuata n.k Ilihali kihistoria inaonesha chimbuko la zao hili ni . Nigeria ikishika nafasi ya 5 kwa zao hili ila pale ndipo chimbuko lake.

Kuna sababu nyingi sana zilizosababisha yote haya. Uzuri ni kua, hata wewe unaweza kunufaika sana ikiwa tu, utajua jinsi ya kuenenda na zao hili.

Zao hili lina uwezo wa kutengeneza bidhaa zaidi ya 50, hii inamaana kua, ikiwa utalijua vyema unaweza wekeza mtaji wako hapa na ukapata matokeo makubwa sana.

Sasa ninahabari njema kwako ya kua, Nimekuandalia darasa maalumu ili uweze kujifunza kwa undani zaidi.

Kiingilio ni bure:

Jinsi ya kujiunga: Tuma ujumbe "MAWESE2025" kwenda WhatsApp namba 0682 836 463

MUHIMU ZAIDI

- Usisahau pia kunipigia kura yako kwani nimeteuliwa kuwania tuzo za UCHUMI GALA AWARDS 2024 k**a Mjasiliamali mbunifu na mzalishaji wa bidhaa wa kiume

- Naomba unipigie kura yako kupitia link hii 👇👇

https://www.uchumigalaawards.site

Hatua za kufuata

- Bonyeza link hapo juu, Bonyeza neno Piga kura uchumi gala awards 2024
- Shuka chini hadi ukutane na kipengele kimeandikwa Mbunifu Na Mzalishaji Bora Wa Kiume Wa Bidhaa 2024
- Chagua jina Eng. Ezra Ngajilo, ( EFOX INDUSTRIES ) Halafu bonyeza neno VOTE NOW
- Jaza Taarifa zako chache
- Bonyeza neno SUBMIT Na hapo utakua umekamilisha zoezi lote

● NB: Ukikwama mahali, wasiliana nami kwa namba 0682 836 463 ili nikusaidie

- Naomba kura yako, Share pia kwa Baba, mama, kaka, dada, mpenzi, BFF, Ndugu na jamaa wengine.

Asante....! Barikiwa 👏🙏🎉

#

Habari ndugu....!Naitwa Eng. Ezra Ngajilo, Mwanzilishi  na mkurugenzi wa EFOX INDUSTRIES  Kampuni inayojihusisha na kusa...
07/10/2024

Habari ndugu....!

Naitwa Eng. Ezra Ngajilo, Mwanzilishi na mkurugenzi wa EFOX INDUSTRIES Kampuni inayojihusisha na kusaidia jamii kuwa na uchumi imara kupitia viwanda vidogo na vya kati kwenye sekta za kilimo, vyakula, ujenzi, sabuni, mkaa mbadala n.k

- Nimeteuliwa kuwania tuzo za UCHUMI GALA AWARDS 2024 k**a Mjasiliamali mbunifu na mzalishaji wa bidhaa wa kiume Naomba unipigie kura yako kupitia link hii hapa chini 👇👇

https://www.uchumigalaawards.site

Hatua za kufuata

- Bonyeza link hapo juu, Bonyeza neno Piga kura uchumi gala awards 2024
- Shuka chini hadi ukutane na kipengele kimeandikwa Mbunifu Na Mzalishaji Bora Wa Kiume Wa Bidhaa 2024
- Chagua jina Eng. Ezra Ngajilo, ( EFOX INDUSTRIES ) Halafu bonyeza neno VOTE NOW
- Jaza Taarifa zako chache
- Bonyeza neno SUBMIT. Na hapo utakua umekamilisha zoezi lote

● NB: Ukikwama mahali, wasiliana nami kwa namba 0682 836 463 ili nikusaidie

● Asante sana...! Barikiwa 🙏🎉



# # # #

Leo ni siku muhimu sana kwa sisi  kwa kua mwanzilishi na mbeba maono wetu Mhandisi. EZRA NGAJILO anakumbuka siku yake ya...
08/09/2024

Leo ni siku muhimu sana kwa sisi kwa kua mwanzilishi na mbeba maono wetu Mhandisi. EZRA NGAJILO anakumbuka siku yake ya kuzaliwa.

Imekua ni safari ndefu sana tangu kuzaliwa. Imekua wakati mzuri sana kwa ukuaji wa kwani bila yeye isingekua hapa.

Kwa msaada wa Mungu tumetenda mengi makubwa na tunatarajia kuendelea kutenda makubwa sana.

Mapinduzi ya viwanda yalianza miaka mingi sana, nchi za wemzetu wametutangulia sana katuka maemdeleo ya viwanda lakini mhandisi huyu siku zote anasema kua "HATA SISI WATANZANIA NA WAAFRIKA WOTE BADO HATUJACHELEWA" ....
.....ndio maana amekua mojawapo ya vijana wachache sana wameamua kusaidia jamii wasiokua na uchumi Imara waweze kupata uchumi huo kupitia Viwanda.

Anaamini kua BADO HUNACHELEWA k**a ambavyo wimbo wa nyumba ya picha unakumbusha kua BADO HUJACHELEWA.

Anza leo kumiliki kiwanda ili uwe na uchumi imara, haijalishi una umri wa miaka 50+ BADO HUJACHELEWA

Kwa msaada wa Masuala na uchumi wa viwanda wasiliana nasi kwa.

Call/WhatsApp/Sms:

0682 836 463

#

07/09/2024
  ye       au unaweza iita  's     - Katika utengenezaji wa peanut's butter kuna hatua kuu tatu.1. Kukaaanga karanga2. K...
01/09/2024

ye au unaweza iita 's

- Katika utengenezaji wa peanut's butter kuna hatua kuu tatu.

1. Kukaaanga karanga
2. Kutoaa ganda la karanga la nje
3. Kusaga karanga...

Na baada ya hapo ni packaging naa kuuza na kutumia.

Sasa leo nimekuletea mashine Nzuri ambayo itakusaidia kutoa ganda la nje la karanga baada ya kukaanga.

Sifa za mashine hii.

1. Imeundwa kwa material imara sana
2. Inatumia umeme mdogo wa nyumbani ( Tshs. 400 kwa saa ).
3. Unaweza tumia Engine ya mafuta ya petrol
4. Ni nyepesi na inahamishika kirahisi kabisa.

Ni rahisi sana na bei yake ni nafuu sana. Unaweza ipata kutoka kwetu leo hii.

Mawasiliano:

0682 836 463

Location:

TEMEKE - DAR ES SALAAM, TANZANIA

Delivery:

WORLDWIDE

Address

TEMEKE/DAR ES SALAAM
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:00 - 19:00
Tuesday 08:00 - 19:00
Wednesday 08:00 - 19:00
Thursday 08:00 - 19:00
Friday 08:00 - 19:00
Saturday 08:00 - 19:00

Telephone

+255682836463

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ezra Charles Ngajilo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Ezra Charles Ngajilo:

Share