*Campuni ya d light solar home systems.*
Inakulete mitambo safi na original yenye walant ya miaka 2. D.light
Imeokoa matumizi ya mishumaa na mafuta ya taa ,sasa unaweza kupata solar ya d.light kwa kulipa cash au kwa kulipa kidogo kidogo na kufurahia mwangaza nyumbani kwako. Kumbuka kuwa d.light inakudhamini mteja wetu kwa kukupatia mahitaji bora ya mwanga nyumbani kwako.
*Aina ya mitambo yetu y
a d.light*
*MTAMBO WA KWANZA NI M100.* ambayo ni simu ya SMART PHONE.Matambo huu unauzwa kwa Bei ya mkopo ni TSH 342000 unatoa ela ya kianzio tsh 54000 unapata ofa ya siku 20 kupiga bure kuanzia siku ya 21 unaanza kulipia tsh 1200 kwa mda wa miezi 8.
*ILA SIMU HII CASH BILA MKOPO NI TSH 299000.*
*MTAMBO WA PILI NI .M200* ambayo ni simu ya Smart phone. Mtambo huu inauzwa jumla *359000* unatoa ela ya kianzio tsh 58000 unapata ofa siku 20 bure kianzia siku ya 21 unaanza kulipia tsh 1400 kwa mda wa miezi 8. *ILA CAH BILA MKOPO NI TSH 299000*
*Mtambo wa TATU ni D150.*
Mtambo huu unauzwa laki 413250 kwa mkopo. na panel 1 na chaja za simu. Pia unaweza kulipa kidogo kidogo. Kianzio ni 40500 na unakabiziwa mtambo wako ukiwa tyr unawaka. Ila itatakiwa ulipie tsh 5500 ili uweze kupata ofa ya kuwasha bure kwa siku na unakuwa na ofa ya kuwasha bure kwa siku 18: baada ya hapo sasa utaweza kulipia tsh 1200 tu kila siku.kwa MDA wa mwaka mmoja.na mtambo wako ukaendelea kuwaka.
*Lakini mtambo huu Bei ya cash bila mkopo ni 340000 tu.*
*MTAMBO WA NNE ni X1000.*
Mtabo huu unauzwa Tsh 1,744000 kwa mkopo.mtambo huu unakuja ukiwa na paneli 1 ,betri1, redio 1, toch 1, Taa 5, na Tv ya nch 24 frat screen. Pia unaweza kulipa kidogo kidogo mpka utakapo maliza. Kwa mara ya kwanza kabisa mtambo huu inatakiwa ulipie tsh 130000 na unakabidhiwa mtambo wako ukiwa unawaka safi kabisa.ila pia itatakiwa ulipie tsh 15000 ili uweze kupata mwanga kwa ofa ya siku 18 bure kabisa .baada ya hapo utatakiwa kulipia tsh 3000 tu kwa kila siku.kwa MDA wa mwaka 1 na nusu. ili kuendelea kupata mwanga na kuburudika na channel zako.
*Bei ya cash ya huu mtambo ni 1450000 tu.*
*PIA KUMBUKA BAADA TU YA KUNUNUA MTAMBO WETU NA KUFUNGIWA UTAPATA WARANT YA MIAKA 2 YOTE.*
D.light imeokoa maisha ya watu zaidi ya milion 10 wanao tumia vibatali na mishumaa na wenye umeme wa tanesco maana umeme wa d light haukatiki masaa 24.
��furahia mpira ukiwa na umeme wa d light saa 24.
*karibu mteja wetu popote ulipo ukihitaji mitambo yetu tunakuletea ulipo pia tutakufungia bure kabisa.*
Usilale giza
Mkombozi wenu d.light solar home system imewaletea mwanga bora . Pia burudani popote. Karibu tuweze kukufikia popote ulipo
*KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NA WAKALA WKO KUPITIA NO.*
*0747482323*
*0652672828*
*TAFADHALI UWE UNANIPIGIA MOJA KWA MOJA*
����