Seanmark & Company Limited

Seanmark & Company Limited Seanmark & co ltd Seanmark & Company Limited is registered under company Registration Ordinance Cap. 212 and the Company is Limited. E6/0910/7/12.

The Company was registered on 22nd April,2011 by Company Registrar in Dar es salaam and was awarded Certificate on Incorporation No. 81626 as per Memorandum of understanding for undertaking Building works, Civil Works, Electrical Works, Electronics equipments, Solar equipments and General Commercial Supplies. This Company too, has registered with Contractors Registration Board(CRB) for Civil Works

registration No. C6/1175/11/12,
Building Works registration No. B6/0647/4/12 and
Electrical works registration No. Seanmark & Company Limited has Capable technical personnel, equipments and plants for execution of project with anti bribery policy.

"Unaweza kurithi mali za baba yako lakini siyo thamani au hadhi yake. K**a baba ni Profesa utarithi vingi kwake lakini s...
28/12/2019

"Unaweza kurithi mali za baba yako lakini siyo thamani au hadhi yake. K**a baba ni Profesa utarithi vingi kwake lakini siyo Uprofesa wake, utafanya kazi ya ziada kuifikia hiyo hadhi.

imeandikwa (Luk. 6:40)

'Mwanafunzi hawezi kuwa mjuzi kuliko mwalimu wake, ila akihitimu, anaweza kuwa bingwa k**a mwalimu wake.'

Unaweza kupita njia nzuri ikakufikisha mahali pazuri lakini mahali hapo pasiwe mahali sahihi kwaajili yako. Unaweza kuwa na marafiki wazuri lakini si marafiki sahihi kwaajili ya maono yako. Usijione bora kuliko wenzako au huna thamani kuliko wenzako. Kuna mwanzo wa kila jambo na kuna mwisho wa kila jambo, hakuna majira yadumuyo. Hilo nalo litapita k**a mengine yalivyopita."

"Happiness is a choice.Hakuna atakayekuhamasisha uwe na furaha, au wa kutafutia hiyo furaha. Furaha yako haijalishi hist...
23/12/2019

"Happiness is a choice.
Hakuna atakayekuhamasisha uwe na furaha, au wa kutafutia hiyo furaha. Furaha yako haijalishi historia yako au wengine waliwahi kusema nini kuhusu wewe. Mwenye jukumu la kuyakusanya maneno na mazingira hasi na kuyaweka 🗑🗑na 🚮🚮 ili uendelee mbele niwewe. Hakuna wakukusaidia hilo. Ukijibweteka wenzako wanafurahia kulala kwako. Wapo walioumbwa kufurahia huzuni zako tu hata k**a furaha yako haiwaathiri kwa chochote. Embu amua kuwa na kiu moja tu, kutimiza mapenzi ya MUNGU, halafu hayo mengine mwambie shetani "utaisoma namba. I choose to be happy"

13/11/2019

Kwa nini UBAYA lazima ukurudie? FITINA ukiitengeneza kwa mwenzako hata k**a ikimuumiza, hata k**a ikimuhaibisha, ikishamaliza inakurudia......yaani piga uwa garagaza lazima 🔙🔄🔄🦅🦅🦅

"Daima epuka sana usijeukawa mzuri sana au ukafanya vizuri sana kwenye eneo ambalo hulipendi. Itakuwia ngumu kusogea kim...
11/11/2019

"Daima epuka sana usijeukawa mzuri sana au ukafanya vizuri sana kwenye eneo ambalo hulipendi. Itakuwia ngumu kusogea kimaisha na furaha itakaa mbali nawe marazote. Jitahidi kutafuta kitu unachokipenda halafu uwe mzuri sana kwenye hicho."
+ Passion = Growth #

"Kwenye maisha jifunze kwenda zaidi ya unachotamani au unachoomba. K**a unamwomba MUNGU akupe gari, jifunze kujibu swali...
11/11/2019

"Kwenye maisha jifunze kwenda zaidi ya unachotamani au unachoomba. K**a unamwomba MUNGU akupe gari, jifunze kujibu swali la ukishalipata inakuwaje? K**a unamwomba akupe Mume, ukishaolewa what next? Kuzaa watoto tu? Akupe Mke, halafu ukishaoa nini kinaendelea? Au shida kubwa ilikuwa ni upweke tu? Unatamani digriii, ukishaipata ufanye nayo nini? Au ni ili wakutambue na wewe unadigrii? Upate kazi na mshahara mzuri? Hilo tu? K**a hitaji lako haligusi nia ya MUNGU kwenye maisha yako yamkini ikawa sababu ya kutokupata kile unachoomba au kukitamani. Recalculate before the move"

"Hakuna ushauri unaotolewa kwa Mtu ambaye yeye mwenyewe hana chochote cha kuanza nacho au ambacho hafikiri kukifanya.. S...
27/10/2019

"Hakuna ushauri unaotolewa kwa Mtu ambaye yeye mwenyewe hana chochote cha kuanza nacho au ambacho hafikiri kukifanya.. Siku zote Ushauri ni ujazilizo wa kile ambacho tayari unacho kichwani au unafikiria kukifanya. Mtu hawezi kuja from no where akaanza kukupa ushauri wa Ndoto zake wakati huenda siyo ndoto zako. Kumbuka Unachowaza siyo ninachowaza, Pia kile Unachotamani kuwa siyo ninachotamani kuwa ila naweza kukuongoza kuanzia pale ambapo wewe umeanza."

"Kwenye maisha kabla haujapoteza sana nguvu zako kujiandaa, chunguza kwanza ukubwa, upana na uzito wa lengo au jukumu li...
18/10/2019

"Kwenye maisha kabla haujapoteza sana nguvu zako kujiandaa, chunguza kwanza ukubwa, upana na uzito wa lengo au jukumu lililoko mbele yako. Usije kupoteza muda kujifua na kujipanga kukabiliana na jukumu la kilo kumi wakati uhalisia jukumu lililoko mbele yako ni la tani nzima. Kagua uwezo wako kabla ya kukabiliana na jukumu lako. Kagua uimara wamisuli yako kabla haujainama kuanza kubeba mzigo wako. Usipoifuata hii kanuni unaweza kujikuta unauliza maswali yasiyo na majibu."

15/10/2019

"Msamaha haubadilishi tabia ya aliyekukosea ila unakusaidia uliyekosewa usiendelee kuumia kwasababu ya makosa ya mwingine. Kumsamehe kunakupatia amani moyoni na utulivu wa nafsi lakini hakumfanyi aliyekukosea atambue thamani ya msamaha wako na ubaya wa makosa yake. Sio kila unayemsamehe ana haki ya kuendelea kuwa na karibu na wewe. Kuna wengine ukishamsamehe muache aende maana akibaki na kesho atarudia kosa lile lile kwa makusudi kwasababu anadharau, ameshazoea kukuchukulia poa, anaamini unamsamehe kwasababu unamuogopa sio kwasababu unampenda."

"Binadamu wote tumepewa uwezo wa kufikiri, kuchanganua mambo na kubadilisha vitu kwa kadri tupendavyo. Huu ni uwezo wa k...
20/09/2019

"Binadamu wote tumepewa uwezo wa kufikiri, kuchanganua mambo na kubadilisha vitu kwa kadri tupendavyo. Huu ni uwezo wa kipekee ambao unatutofautisha na wanayama wengine. Uwezo huu wote tumepewa sawa japokuwa tunatofautiana jinsi ambavyo tunautumia kwa ajili ya faida yetu. Ili ufanikiwe kutumia uwezo huu ni lazima uongozwe na roho kwani ni roho pekee ndio anatuongoza kwenye mabadiliko ya kweli badala ya kuzama kwenye matamanio ya mwili. MWENYEZI MUNGU atufanyie uwepesi katika kazi zetu za mikono."

19/09/2019

"Tukumbuke kuwa, maisha yapo yanaendelea hata k**a hatuna kazi za kuajiriwa. Maisha yapo yanahitaji fedha hata k**a hatufanyi kazi, siku moja tutastaafu, yaani tutakuwa wazee. Na zaidi ya yote, tukumbuke kuwa, uzee haungoji mpaka upate kazi kwani maisha yanaendelea hata ukiwa mzee na mahitaji ya fedha yapo palepale.!"

"Majuto ni kipimo kizuri kufanya maamuzi, ili kuepuka kutumia majuto k**a uzembe na kuepuka kujidanganya kwamba unaacha ...
16/09/2019

"Majuto ni kipimo kizuri kufanya maamuzi, ili kuepuka kutumia majuto k**a uzembe na kuepuka kujidanganya kwamba unaacha kuchukua hatua fulani kwa sababu hata hivyo hutaijutia, wewe jiangalie, unaweza kumdanganya kila mtu ila uwezi kujidandanya. Hivyo kwa kutumia majuto, chagua kuyaishi maisha ambayo hata ukifa kesho, hutakuwa na cha kujutia, kwa sababu utakuwa umepata unachotaka, au utakuwa kwenye njia ya kufanyia kazi kukipata."
, . .

"Kwenye maisha kuwa na hasira ni jambo la kawaida na la kibinadamu, shida inakuja pale unaporuhusu hasira zako ziongoze ...
15/09/2019

"Kwenye maisha kuwa na hasira ni jambo la kawaida na la kibinadamu, shida inakuja pale unaporuhusu hasira zako ziongoze maamuzi yako na kukuamulia matendo yako. Pasipo hekima hasira sitakusukumia kwenye majuto wakati wote"

Address

Box 133, Muleba/
Ngara
0255

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Seanmark & Company Limited posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Seanmark & Company Limited:

Share