Mwana Wa Nabii Simion Julius

Mwana Wa Nabii Simion Julius Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mwana Wa Nabii Simion Julius, Aerospace Company, Kempston Park, Johannesburg.

Shetani hatakuzuia kuanza ila kumaliza. Atatumia nguvu zake zote kupambana na wewe mwishoni. Ibilisi huongeza majeshi ya...
14/08/2019

Shetani hatakuzuia kuanza ila kumaliza. Atatumia nguvu zake zote kupambana na wewe mwishoni. Ibilisi huongeza majeshi yake pale anapoona unaenda kufikia hatima yako. Unapokaribia UPENYO ndipo matatizo hutokea, ndipo roho za upinzani zinapoinuka. Kadri unapokaribia mafanikio ufahamu adui naye huongeza nguvu ili kuyaharibu. Jumapili hii tarehe 18/8/2019 tutakuwa na maombi ya kuharibu ROHO YA KUMALIZIA VIBAYA. Wajulishe na watu wengine.

KWANINI SHETANI HUPAMBANA SANA MWISHONI? Kwa kutokuelewa siri hii maisha ya watu wengi yameharibika. Nguvu za adui huwa ...
14/08/2019

KWANINI SHETANI HUPAMBANA SANA MWISHONI? Kwa kutokuelewa siri hii maisha ya watu wengi yameharibika. Nguvu za adui huwa kubwa sana mwishoni. Ibilisi anajua akikupigia mwishoni yale yote uliyoyafanya kwa muda mrefu yatapotea. Jumapili hii tarehe 18/8/2019 tutakuwa na maombi ya kuharibu ROHO YA KUMALIZIA VIBAYA. Wajulishe na watu wengine.

MAOMBI YA KUFUNGUA MALANGO; Ni leo alihamisi tarehe 1/8/2019 saa 8:00 mchana. MALANGO yako yanapokuwa wazi baraka zako z...
01/08/2019

MAOMBI YA KUFUNGUA MALANGO; Ni leo alihamisi tarehe 1/8/2019 saa 8:00 mchana. MALANGO yako yanapokuwa wazi baraka zako zinakufikia kwa wakati. Fedha zitakufikia kiurahisi. Hutasumbuka kupata kazi. Hutaishi maisha ya kuhangaika. MALANGO yako ya baraka yanapofungwa ndipo ugumu wa maisha na mahangaiko unakuandama. Funga masaa 12 KUJIUNGANISHA NA NGUVU HII YA KUFUNGUA MALANGO YAKO. ISAYA 60:11, Wajulishe na watu wengine.

KARIBU KATIKA IBADA YA JUMAPILI HII. Tutakuwa tunashiriki MEZA YA BWANA tukikumbuka AGANO la Bwana wetu Yesu kristo. 1Wa...
10/06/2019

KARIBU KATIKA IBADA YA JUMAPILI HII. Tutakuwa tunashiriki MEZA YA BWANA tukikumbuka AGANO la Bwana wetu Yesu kristo. 1Wakorintho 11:23:26 Katika Ibada hii kutakuwa na utembeo mkubwa wa nguvu za Roho Mtakatifu. Na kila kazi ya NGUVU ya Shetani inayoharibu maisha yako itakuachia kabisa. Ibada hii ya MEZA YA BWANA itaongozwa na mpakwa mafuta wa Bwana mtu wa Mungu mwana wa nabii SIMION JULIUS.

08/06/2019

Mwanamke amka toka usingizini, hilo blanketi la kichawi lililokufunika likuachie kwa jina la Yesu kristo.

MAOMBI YA OMEGA, Ni jumapili hii ya tarehe 9/6/2019 hivi unafahamu kuwa hatua zako za MAFANIKIO zinaweza kucheleweshwa? ...
07/06/2019

MAOMBI YA OMEGA, Ni jumapili hii ya tarehe 9/6/2019 hivi unafahamu kuwa hatua zako za MAFANIKIO zinaweza kucheleweshwa? Kutakuwa na maombi ya KUVUNJA ROHO YA UCHELEWESHAJI. Kutakuwa na maombi ya kuharibu ROHO YA KIFO iliyopangwa juu yako kwenye hii miezi (6) iliyobaki. Kutakuwa na maombi ya KUVUNJA ROHO YA KUISHIA NJIANI. Ni jumapili ya KUFICHUA chanzo cha ROHO YA KUISHIA NJIANI. Njoo upokee NGUVU ya kufanikiwa kwenye hii miezi (6) iliyosalia. Njoo upokee MGUVU ya kumalizia kwenye hii miezi (6) iliyobaki. Utapakwa mafuta ya UPAKO ili upokee NGUVU ya kufikia MALENGO yako. Usikose, MJULISHE NA MWINGINE. Luka 14:28:30

NI BORA KUAMINI KUWA MUNGU YUPO ILI USIPOMKUTA USIPATE TAABU. KULIKO KUAMINI KUWA HAYUPO HALAFU UKAMKUTA.
04/06/2019

NI BORA KUAMINI KUWA MUNGU YUPO ILI USIPOMKUTA USIPATE TAABU. KULIKO KUAMINI KUWA HAYUPO HALAFU UKAMKUTA.

Naachilia Nguvu Ya OMEGA, Nguvu Ya Ukamilisho. Nenda Uk**alize Mwaka Vizuri. Yeyote Aliyekusudia UISHIE NJIANI Mwaka huu...
02/06/2019

Naachilia Nguvu Ya OMEGA, Nguvu Ya Ukamilisho. Nenda Uk**alize Mwaka Vizuri. Yeyote Aliyekusudia UISHIE NJIANI Mwaka huu. APIGWE RADI Kwa Jina La Yesu. 1Samweli 2:10 Type Pigwa Radi.

01/06/2019

Mtu wa Mungu mwana wa nabii SIMION JULIUS anakukaribisha kipekee kabisa kesho JUMAPILI tarehe 2/6/2019 kwenye MAOMBI YA OMEGA. K**a uko nje ya MWANZA jiunganishe na haya MAOMBI YA OMEGA na wewe utapokea NGUVU YA OMEGA.

Mwaminini Bwana Mungu wenu ndivyo mtakavyothibitika. Waminini manabii wake ndivyo mtakavyofanikiwa. 2Nyakati 20:20 k**a ...
30/05/2019

Mwaminini Bwana Mungu wenu ndivyo mtakavyothibitika. Waminini manabii wake ndivyo mtakavyofanikiwa. 2Nyakati 20:20 k**a unaamini pamoja na mimi ninaamuru FEDHA NA UTAJIRI vitoke kwenye mikono ya watu wa mataifa na kuja kwako. Mwanzo 31:9 tpye napokea..........

Address

Kempston Park
Johannesburg

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mwana Wa Nabii Simion Julius posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share